WASILIANA NASI KWA +255 712222966
EMAIL:imlaki@gmail.com
Monday, July 30, 2012
HUYU NDIO MSCHANA WA KICHINA MWENYE UMRI WA MIAKA 16 NA KUVUNJA REKODI YA DUNIA KWA KUOGELA NDANI YA SEKUNDE 28:93 NA KUMPITA MMAREKANI RYAN LOCHTE(27) KWA SEKUNDE MBILI ZAIDI AMBAYE ALISHIKILIA REKODI HIYO KWENYE MASHINDANO YA OLYMPICS
akiogelea hapo kwa kasi ya ajabu mara baada ya hapo alijinyakulia Medari yake za dhahabu!!
Miss Ye Shiwen (16) Akipongezana na mshiriki mwenzie!! si mchezo kumbuka ni mtoto wa miaka 16 uyo!1
No comments:
Post a Comment