Wednesday, July 18, 2012

MELI YA SEA GULL YAZAMA HUKO CHUMBE KARIBU NA ZANZIBAR!!!R

 Meli ya Seagul iliyokuwa ikielekea visiwani Zanzibar ikitoka Dar es Salaam imezama. Meli hiyo ilitoka Dar es Salaam leo saa 7 mchana ikiwa na abiria karibia 200 na kuzama katika eneo la Chumbe jirani na Zanzibar. mpaka sasa haijafahamika ajali hiyo imeleta madhara kiasi gani

No comments: