Kuna habari njema kuwa wanasayansi nchini Marekani
wamegundua dawa inayotibu ugonjwa wa Ukimwi.
Kwa mujibu wa BBC watafiti
nchini marekani wanasema wamepata njia ya kutibu virusi ivyo vya ugonjwa wa
ukimwi kwa kutumia dawa inayokinga ugonjwa wa saratani.
Ugonjwa wa ukimwi
umekua mgumu kutibika kutoka na virusi
hivyo kukaa muda mrefu mwilini bila kutambulia. Katika kurasa zao za jarida la matibabu ya asili(
Natural) wataalamu hao wamesema, wamepata njia ya kuvimulika virusi hivyo
mwilini na kuwa kitendo cha kufanya hivyo wameweza kuviua virusi kwa kutumia
dawa za kuongeza nguvu mwilini.
Tayari majaribio
yamefanyika kwa wagonjwa nane na kufanikiwa huku wakiongeza kuwa, bado kunaitajika utafiti
zaidi wa kuezesha kuundwa kwa dawa madhubuti ya kumaliza ugonjwa huo. Haya yote
yametokea wakati watu wengi sasa wamekubali kua ukimwi upo na unaua.
No comments:
Post a Comment