Monday, July 16, 2012

MTOTO WA RAPA WA SIKU NYINGI COOLIO KUTUMIKIA JELA MIAKA 10 KWA WIZI WA KUTUMIA SILAHA!!

Rapper Coolio's son, Grtis Ivery, 22,


 Baba mtu naye alikamatwa march 9 for outstanding traffic warrants na aliwekwa jela ambayo mwanae yupo!!



Familia Nzima ndio hii




Mtoto wa kwanza wa rapa Coolio, ambaye alikamatwa Novemba mwaka jana kwa kosa la kuvunja nyumba huko Las Vegas akishirikiana na rafiki yake wa kike ambaye inasemekana ni changudoa  na kumlazimisha mpangaji wa nyumba hiyo kujifungia chooni huku mwenzake akiiba vitu vyingine ndani ya nyumba hiyo. kesi hiyo ilipofikia kuna uwezekano mkubwa Grtis Ivey, 22 kutumikia kifungo cha  kati ya miaka  mitatu na nusu hadi miaka 10 .

Vyanzo vya kutekeleza sheria vimesema kuwa   Grtis Ivey, 22 - ambaye alionekana kwenye reality show ya familia ya coolio amekubali kuwa na hatia ya kosa hilo la wizi na hukumu halisi ya  kesi ya kijana huyo itajulikana  rasmi September 12

No comments: